Team nzima ya Tanzania Redcross wakiwa katika picha ya pamoja mjini Morogoro katika maeneo ya Magowe na Mateteni ambayo yaliyoathirika na mafuriko makubwa hadi leo hii watanzania zaidi ya 500 wanaishi kwenye mahema.
Kijana wa TRCS kutoka Mzizima Redcross branch ndugu Sute Samson Mtumbati akitoa elimu kwa wananchi juu ya kupambana na mazingira magumu wanayokutana nayo.
Hili ni tank la maji safi ambalo uhudumia watu zaidi ya mia tano (500) ambalo halimalizi masaa 3 yanakwisha na inasadikika kwa wiki huwa yanaletwa mara moja kutoka mjini,kwa mbali ni mahema ya wananchi walioathirika na mafuriko.
Muonekano wa makazi wa mji huko ukiwa na mahema ambayo wakazi hao wanaishi tangu hapo mafuriko yalipotokea.
Hili ni jiko la mabati ambalo wananchi wa mji huo huwa wanakaa hapo pindi mvua kubwa zikiharibu makazi yao yaani mahema.
Hili ni moja la tukio la kusikitisha lililotokea hivi karibuni kwa sababu zinazoweza kutatuliwa na serikali yaani kwa ukosefu wa hospitali katika maeneo hayo hadi wananchi hasa watoto wadogo upoteza maisha yao.
viongozi wa nchi mko wapi?
ReplyDeletewapo dodoma
ReplyDelete