Bondia Roy Mbunda wa Ruvuma akifanyiwa vipimo na Dk Issa ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya pambano litakalo fanyika jioni ya leo katika ukumbi wa YMCA mjini Moshi.
Bondia Alibaba Ramadhani wa Kilimanjaro akifanyiwa vipimo na Dk Issa ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya pambano litakalo fanyika jioni ya leo katika ukumbi wa YMCA mjini Moshi.
Mwenyekiti wa chama cha ngumi mkoa wa Kilimanjaro Eliakunda Kipoko akizungumza na mabondia (hawapo pichani)mara baada ya kufanyiwa vipimo.
Bondia Alibaba Ramadhan(shoto) na Roy Mbunda(kulia)wakiwa na promota Andrew George mara baada ya kufanyiwa vipimo.
Bondia Alibaba Ramadhan(shoto) na Roy Mbunda(kulia)wakiwa na mwenyekiti wa chama cha ngumi mkoa wa Kilimanjaro (KBA)Eliakunda Kipoko(mwenye suti) pamoja na promota Andrew George mara baada ya kufanyiwa vipimo mabondia.
Mabondia wakiwa na Dokta Issa mara baada ya kumaliza kuwafanyia vipimo.
Mabondia wakiwa na viongozi wa chama cha ngumi mkoa wa Kilimanjaro (KBA) ,Eliakunda Kipoko(Mwenyekiti) na Shambe Sagafu (katibu) Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, kanda ya kaskazini,



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...