Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Mhe. Ahmed Kipozi (wa nane, waliosimama) akiwa na kundi la wanahabari kutoka vyombo mbalimbali waliokuwa wakiripoti taarifa za uchaguzi mdogo wa jimbo la Chalinze uliomalizika mwishoni mwa juma na mgombea wa CCM Ridhiwani Kikwete kuibuka mshindi. Mhe. Kipozi, ambaye yeye mwenyewe ni mwanahabari mkongwe, amewashukuru sana wanahabari hao pamoja na vyombo vyote kwa uahirikiano waliotoa pamoja na kazi iliyojaa weledi katika kipindi chote cha kampeni
Home
Unlabelled
mhe kipozi ala pozi na wanahabari waliokuwa wakiripoti kampeni za ubunge jimbo la chalinze
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kwa aliyeshinda, congratulations. I wish you God speed and blessings in your tasks.Today I heard something very true, a fish may look very nice and attractive in an aquarium, but when you put the same fish in a river or the sea, will it remain attractive.You were attractive during the campaign, strive to remain attractive now that you have been thrown into the sea.
ReplyDelete