Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Mhe. Ahmed Kipozi (wa nane, waliosimama) akiwa na kundi la wanahabari kutoka vyombo mbalimbali waliokuwa wakiripoti taarifa za uchaguzi mdogo wa jimbo la Chalinze uliomalizika mwishoni mwa juma na mgombea wa CCM Ridhiwani Kikwete kuibuka mshindi. Mhe. Kipozi, ambaye yeye mwenyewe ni mwanahabari mkongwe,  amewashukuru sana wanahabari hao pamoja na vyombo vyote kwa uahirikiano waliotoa pamoja na kazi iliyojaa weledi katika kipindi chote cha kampeni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kwa aliyeshinda, congratulations. I wish you God speed and blessings in your tasks.Today I heard something very true, a fish may look very nice and attractive in an aquarium, but when you put the same fish in a river or the sea, will it remain attractive.You were attractive during the campaign, strive to remain attractive now that you have been thrown into the sea.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...