Mtaalamu wa tiba asilia toka Tanzania Dokta Mwaka Juma ametembelea Makao Makuu ya Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Ujerumani (DW) jijini Bonn akiwa katika ziara ya mafunzo nchini Ujerumani na hasa kustawisha tiba mbadala kwa afya. Pamoja na DW anatembelea vyuo na taasisi mbalimbali za tiba.
Dokta Mwaka Juma akiwa na mkuu wa Idhaa ya Kiswahili DW
Dokta Mwaka Juma akisalimia na Abdul Mtullya
Dokta Mwaka Juma akiwa na Josephat Charo
Dokta Mwaka Juma akiwa na Samia Othman pamoja na Zainab Aziz
Mohamed Khelef wa DW na Dokta Mwaka Juma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...