Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na wajumbe wa Bodi ya utendasji ya mfuko wa Kimataifa wa maendeleo ya kilimo(IFAD) wakati walipomtembelea ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Bodi ya Utendaji(Executive Board) ya mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo(IFAD) ikulu jijini Dar es Salaam leo.(picha na Freddy Maro).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...