Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na wajumbe wa Bodi ya utendasji ya mfuko wa Kimataifa wa maendeleo ya kilimo(IFAD) wakati walipomtembelea ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Bodi ya Utendaji(Executive Board) ya mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo(IFAD) ikulu jijini Dar es Salaam leo.(picha na Freddy Maro).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...