Kutoka kulia waliosimama. 1. Abdallah Shomari (Tandamti no. 3 )2. Nassoro kalumbanya (simba str.) 3. Said Chamwenyewe (Aggrey/Congo str.) 4. Mtoro Ally (Muhonda str.) 5. John Rupia (Misheni kota) 6. Julius Nyerere( Pugu Sekondari ) 7. Said Chaurembo (Congo/ Mkunguni str.) 8. Jumbe Tambaza( Upanga ) 9. Sheikh Suleiman Takadir (Mafia /Swahili) 10. Dossa Aziz ( Mbaruku /Somali kipande ) 11. Mshume Kiyate (Tandamti) 12. Juma Sultan (Kitchwele karibu na kanisa dogo ) 13. Maalim Shubeti (Masasi/ Likoma) 14. Rajab Simba  ( kiungani str.) 15. Waziri Mtonga (Kilosa no. 18 , Ilala) 16. Mwinjuma Mwinyikambi ( Mwananyamala) 17. Maxi Mbwana ( Aggrey /Kongo ) 18. Usia Omari (Sungwi ,Kisarawe) 19. Sheh Issa Nasir ( Bagamoyo)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 03, 2014

    Wengi sasa hawapo kujionea wenyewe tumefika wapi. Lakini jee, tumawakumbuka, tunawashukuru?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 03, 2014

    Hivi Ni kweli Nyerere Kuna siku alifunga halafu akaskia kichwa kinauma akadai Panadol saa sits mchana?

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 03, 2014

    Mwenyezi Mungu atawalipa.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 03, 2014

    mbona ktk historia ya uhuru wa tanganyika anatajwa nyerere tu?

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 04, 2014

    LAHAULA....AMA KWELI.......

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 04, 2014

    Picha ya mwaka gani mbona kina Mzee Sykes na wengine wengi hawamo?

    Vuguvugu ya Uhuru ilianza DSM je huko Tabora? Tanga? n.k vipi msaada tutani

    Mdau
    KijanaDotCom

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 04, 2014

    SUB HANNA ALLAH, Inna lillah wainna illah rajiun.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 04, 2014

    Mimi nahisi sasa, masomo ya siasa na historia, katika shule za msingi, Tanzania, zitende haki na kueleza ukweli. Bila ya hawa wazee na wengine kama Mzee Sykes, pasingekuwa na Nyerere (RIP na heshima zake). We have to stop 'whitewashing' our history and tell it like it is. Ahsanteni wazee wetu, waheshimiwa. Waliotangulia, Mwenyezi Mungu awalaze mahali pema peponi. Moja wapo hapo ni Babu yangu marehemu ambaye nampenda sana na kumshukuru kila siku katika sala zangu kwa mapenzi aliyokuwa nayo na nchi yake wakati wa uhai wake. Leo, our leaders just think of themselves and not the nation. Mungu inariki Tanzania. Nakupaneda kwa moyo wote.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 05, 2014

    Pongezi nyingi kwa wazee wetu kwa kujitoa mhanga kwa faida yako na yangu (Watanzania).
    Mapendekezo:
    Waandishi wa mambo ya muhimu Kama haya Au inapotokea mtu anakumbana na habari muhimu Kama hii ai-qualify: pengine ingeandikwa 'Wazee walioanzisha vuguvugu la kudai Uluru wa Tanganyika kutoka Mikoa ya DSM na Pwani (Bagamoyo): ili kuepuka upotoshaji.

    Historia ya kudai Uhuru wa Tanganyika hauwezi kukamilika bila kuwataja wale Wazee wa Mikoa yote walioshiriki bega kwa bega ndipo Uhuru ukapatikana!
    Kufanya kinyume ni upotoshaji wa makusudi wa ukweli ambao wengi wetutuliosoma enzi za Nyerere (ambaye alikuja DSM akitokea Musoma) tunaufahamu.

    Mungu Ibariki Tanzania.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...