Spika
wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki (EALA) Dk. Margaret Nantongo
Zziwa akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari katika ofisi za
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dar es Salaam leo juu ya
mkutano wa kwanza wa Bunge la tatu unaotaraji kuanza leo katika ukumbi
wa Karimjee na kufunguliwa na Rais Jakaya Kikwete kesho kutwa.
Spika
wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki (EALA) Dk. Margaret Nantongo
Zziwa akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari katika ofisi za
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dar es Salaam jana juu ya
mkutano wa kwanza wa Bunge la tatu unaofanyika ukumbi wa Karimjee.
Wengine kutoka kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ushirikiano wa
Afrika Mashariki, Amantius Msole, wabunge wa EALA kutoka Tanzania Twaha
Taslima na Shy Rose Banji
Mbunge
wa Bunge la Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Wabunge kutoka Tanzania,
Adam Kimbisa, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari katika ofisi za
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dar es Salaam leo, juu ya
mkutano wa kwanza wa Bunge la tatu unaofanyika ukumbi wa Karimjee.
Kushoto ni Spika
wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki (EALA) Dk. Margaret Nantongo
Zziwa,wabunge wa EALA kutoka Tanzania, Twaha Taslima na Shy Rose Banji. PICHA ZAIDI --FATHER KIDEVU BLOG 



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...