Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.
Aunty Ezekiel akipata picha ndani ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania Washington, DC
Aunty akipata picha nje ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani.
Aunty na Cassim Mganga wakipata menu ndani ya jiji la Washington, DC
Shabiki akipata picha na wasanii Aunty na Cassim Mganga
Shabiki akipata picha na wasanii Aunty na Cassim Mganga
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...