Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Ukawa Please know that House Business is end!

    Nendeni mkawaulize wenzenu kule Scotland wamepiga Kura mweziuliopita na wapinga Muungano wamegwagwa bado ninyi tu Wapinga Muungano wa Tanzania!

    ReplyDelete
  2. Mlifikiri ninyi Ukawa Katiba haitapita kwa kususia Vikao Bungeni?

    Aaaa wapi!!

    Chadema chukueni majembe mwende shamba mkalime bisahara ya Siasa imewashinda mmekaa nje ya Bunge mmesusa sasa Katiba imepita ndio sasa mnazinduka mnakurupuka mnawaingiza watu mkenge kuingia Mitaani kwa Maandamano haramu!

    ReplyDelete
  3. Mimi nadhani pamoja na onyo hilo CHADEAMA waendelee, yaani wapuuze onyo ila tu watakapoamua hivyo basi Halima Mdee na viongozi wengine wawe mstari wa usoni kwenye maandamano hayo. Vinginevyo sipo pamoja na unafiki unaoendelea kuoneshwa na viongozi wetu wa vyama vya upinzani.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...