Meneja Mafao wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), James Oigo akitoa mada wakati wa kongamano la HRSTA Panorama lililowashirikisha Wakurugenzi, Mameneja na
Maafisa Rasilimali Watu kutoka taasisi mbalimbali lililofanyika kwenye Hotel ya Double Tree Hilton jijini Dar es Salaam.
Meneja
Mafao wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), James Oigo akitoa
mada wakati wa kongamano la HRSTA Panorama lililowashirikisha
Wakurugenzi, Mameneja na
Maafisa Rasilimali Watu kutoka taasisi mbalimbali lililofanyika kwenye
Hotel ya Double Tree Hilton jijini Dar es Salaam.
Meneja
Mafao wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), James Oigo akitoa
mada wakati wa kongamano la HRSTA Panorama lililowashirikisha
Wakurugenzi, Mameneja na
Maafisa Rasilimali Watu kutoka taasisi mbalimbali lililofanyika kwenye
Hotel ya Double Tree Hilton jijini Dar es Salaam.
Ofisa
Mafao Mwandamizi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),
Julieth Chalamira akifafanua jambo kwa washiriki wa kongamano la HRSTA
Panorama kuhusu faida za kujiunga na NSSF.
Ofisa
Uhusiano wa NSSF, Kiamba Rajabu (kushoto), akitoa maelezo ya huduma za
NSSF kwa washiriki wa kongamano la HRSTA Panorama lililofanyika jijini
Dar es Salaam.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...