Afisa
Uhusiano wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Abdul Njaidi, (kulia), akipena mikono na
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Vingunguti-Butiama jijini Dar es Salaam,
Elvis Bwahama, wakati akikabidhi msaada wa mifuko ya saruji tani 3 na mabati,
kwa ajili ya ujenzi kwenye kituo cha kulea watoto walio katika mazingira
magumu, cha Lukema. Hafla ya kukabidhin msaada huo kwa kituo hichomnkinacholea
watoto 70, ilifanyika Ijumaa Machi 6, 2015. Kushoto ni mwenyekiti wa kituo
hicho, Fatuma Ramadhani.
Afisa
Uhusiano wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Abdul Njaidi, (kulia), akiteta jambo na
mmoja wa watoto wanaolelewa kwenye kituo cha kulea watoto walio katika
mazingira magumu cha Lukema, kilichoko Vingunguti-Butiama jijini Dar es Salaam
Ijumaa Machi 6, 2015. Mfuko huo umetoa msaada wa saruji na mabati kwa ajili ya
kupanua ujenzi wa kituo hicho kinacholea watoto 70 kwa sasa.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...