Chifu
wa Kabila la Wazanaki Japhet Wanzagi (wapili toka kulia)i akitoa ufafanuzi kwa
waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya alichotaja kuwa ni upotoshwaji uliofanywa na gazeti
moja la kila siku kuhusu taarifa za kutaja sifa za rais ajaye na kumponda
Makongoro Nyerere kuwa hatoshi kwa nafasi ya Urais alidai taarifa za kumponda Makongoro Nyerere kuwa hatoshi kwa
nafasi ya Urais si za kweli bali amelishwa maneno).Wengine ni baaadhi ya
wanafamilia na rafiki wa chifu huyo mapaema hii leo jijini Dar es Salaam.
Home
Unlabelled
Chifu Wanzagi akanusha taarifa zilizoandikwa kuwa Makongoro hatoshi kuwa Rais
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...