Sehemu ya Wafuasi wa Mmoja wa Wagombea Urais ambao hawakuingiakatika hatua ya tano bora ya ya kuwania nafasi hiyo kupitia CCM, wakiimba kwa pamoja wimbo wa kuwa na imani na Mgombea wao, nje ya Makao Makuu ya Chama hicho, Mjini Dodoma mchana huu. Pamoja na kwamba Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa unaendelea kwenye Ukumbi wa White House, huku nje hali iko namna hii na ulinzi umekuwa ni mkali sana katika eneo lote la Makao Makuu ya CCM.
Askari Polisi akimzuia Mbwa wake asimzuru mmoja wa vijana waliopo nje ya Makao Makuu ya CCM.
 Askari Polisi wakiendelea na doria nje ya eneo la Makao Makuu ya CCM Mjini Dodoma leo hii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 11, 2015

    kweli hali tete kina ras makunja na mbwa kiwanjani?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...