Sehemu
ya Wafuasi wa Mmoja wa Wagombea Urais ambao hawakuingiakatika hatua ya
tano bora ya ya kuwania nafasi hiyo kupitia CCM, wakiimba kwa pamoja
wimbo wa kuwa na imani na Mgombea wao, nje ya Makao Makuu ya Chama
hicho, Mjini Dodoma mchana huu. Pamoja na kwamba Mkutano wa Halmashauri
Kuu ya CCM Taifa unaendelea kwenye Ukumbi wa White House, huku nje hali
iko namna hii na ulinzi umekuwa ni mkali sana katika eneo lote la Makao
Makuu ya CCM.
Askari Polisi akimzuia Mbwa wake asimzuru mmoja wa vijana waliopo nje ya Makao Makuu ya CCM.
Askari Polisi wakiendelea na doria nje ya eneo la Makao Makuu ya CCM Mjini Dodoma leo hii.
kweli hali tete kina ras makunja na mbwa kiwanjani?
ReplyDelete