Uongozi wa mabigwa wa soka nchini Yanga umethibitisha kumsajili kihalali mchezaji Geofrey Mwashuya kutokaKimondo FC ya mbeya.  https://youtu.be/cYGXZTeWWOw

Watuhumiwa wanne mkoani mbeya wamehukumiwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kufanya mauaji ya Mlemavu wa ngozi   http://youtu.be/_hXJgsMGqiI

SIMUtv:  Chile imefanikiwa kutinga  fainali za Copa Amerika baada ya kuifunga Peru bao 2-1 katika mechi ya nusu fainali mjini Santiago.   http://youtu.be/URSePAX6_ho



BUNGE.

TBC

SIMUtv:  Hatimaye kilio cha muda mrefu cha Madiwani  kuboreshewa maslahi yao katika Halmashauri chafika Bungeni.    https://youtu.be/3sVHY1JADuQ

SIMUtv:  Mh Charles Mwijage akijibu swali juu ya mgawanyo wa mapato kwa Halmashauri ya Kilwa kutokana na mradi wa gesi wa Songosongo.   http://youtu.be/HRRHmSttR9o



SIMUtv:  Mbunge wa Kasulu Mosesi Machali ahoji juu ya uhaba wa vifaa vya umeme wilayani Kasulu ambayo bado ni changamoto katika wilaya hiyo    http://youtu.be/S3ql_3iHYG8



SIMUtv:  Kasi ya magonjwa ya moyo kwa watoto nchini inazidi kuongezeka, je wafahamu dalili za magonjwa hayo na jinsi ya Kujikinga mapema?     http://youtu.be/YeLaWV7ukBw



SIMUtv:  Mbunge ahoji juu ya ujenzi wa vituo vya Mizani ya kisasa katika barabara mbalimbali nchini ili kuondoa kero ya foleni kwa mabasi ya abiria.   https://youtu.be/11yaepetaWc



SIMUtv:   “Tunafikiria hata kutengeneza nguzo za zege”  hii ndio kauli ya Mh Mjijage baada ya kubanwa juu ya uhaba wa nguzo nchini. Fahamu zaidi kupiitia SimuTv.   http://youtu.be/QvpHIIi-YDg



SIMUtv:  Serikali yaahidi kuendelea  kubatilisha milki za mashamba na viwanja visivyoendelezwa na wamiliki wake.   http://youtu.be/aIZynvRzgqo

SIMUtv:  Naibu Waziri wa ulinzi Mh Kasim Majaliwa atoa somo kwa Watanzania juu ya jeshi la zimamoto. Kujua undani wake Fuatilia hapa SimuTv.    http://youtu.be/ItroxZdteYw



Regards,
Ibrahim Ngwembele.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...