Uongozi wa mabigwa wa soka nchini Yanga umethibitisha
kumsajili kihalali mchezaji Geofrey Mwashuya kutokaKimondo FC ya mbeya. https://youtu.be/cYGXZTeWWOw
Watuhumiwa wanne mkoani mbeya wamehukumiwa adhabu ya
kunyongwa hadi kufa baada ya kufanya mauaji ya Mlemavu wa ngozi http://youtu.be/_hXJgsMGqiI
SIMUtv: Chile imefanikiwa kutinga fainali za Copa Amerika
baada ya kuifunga Peru bao 2-1 katika mechi ya nusu fainali mjini Santiago. http://youtu.be/URSePAX6_ho
BUNGE.
TBC
SIMUtv: Hatimaye kilio cha muda mrefu cha Madiwani
kuboreshewa maslahi yao katika Halmashauri chafika Bungeni. https://youtu.be/3sVHY1JADuQ
SIMUtv: Mh Charles Mwijage akijibu swali juu ya mgawanyo wa
mapato kwa Halmashauri ya Kilwa kutokana na mradi wa gesi wa Songosongo. http://youtu.be/HRRHmSttR9o
SIMUtv: Mbunge wa Kasulu Mosesi Machali ahoji juu ya uhaba
wa vifaa vya umeme wilayani Kasulu ambayo bado ni changamoto katika wilaya
hiyo http://youtu.be/S3ql_3iHYG8
SIMUtv: Kasi ya magonjwa ya moyo kwa watoto nchini inazidi
kuongezeka, je wafahamu dalili za magonjwa hayo na jinsi ya Kujikinga
mapema? http://youtu.be/YeLaWV7ukBw
SIMUtv: Mbunge ahoji juu ya ujenzi wa vituo vya Mizani ya
kisasa katika barabara mbalimbali nchini ili kuondoa kero ya foleni kwa mabasi
ya abiria. https://youtu.be/11yaepetaWc
SIMUtv: “Tunafikiria hata kutengeneza nguzo za
zege” hii ndio kauli ya Mh Mjijage baada ya kubanwa juu ya uhaba wa
nguzo nchini. Fahamu zaidi kupiitia SimuTv. http://youtu.be/QvpHIIi-YDg
SIMUtv: Serikali yaahidi kuendelea kubatilisha milki za
mashamba na viwanja visivyoendelezwa na wamiliki wake. http://youtu.be/aIZynvRzgqo
SIMUtv: Naibu Waziri wa ulinzi Mh Kasim Majaliwa atoa somo
kwa Watanzania juu ya jeshi la zimamoto. Kujua undani wake Fuatilia hapa
SimuTv. http://youtu.be/ItroxZdteYw
Regards,
Ibrahim Ngwembele.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...