Wananchi wa jiji la Dar es Salaam wakiwa katika harakati za kutafuta
mahitaji kuelekea sikukuu ya kuhitimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Mzigo ukishushwa tayari kwa kuuzwa.
Msongamano wa magari katikati ya kariakoo jijini Dar es Salaam.
Hapa ni hatari zaidi kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam maeneo ya mtaa wa Congo.
Msongamano wa magari Mtaa wa Sokoni Kariakoo jijini Dar es Salaam.
Msongamano wa magari Mtaa wa Sokoni Kariakoo jijini Dar es Salaam.
Picha zote na Avila Kakingo na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...