
Mwanamuziki wa Dance nchini Kongo, Fiston
Lusambo (Filsa Papa) akizungumza na Globu ya Jamii juu ya ujio wao hapa nchini katika
hoteli ya Don Suite iliyopo Ilala, Bungoni jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa
Wanamuziki kutoka Kinshasa nchini Kongo, Nzaya Nzayad akizungumza na
Globu ya Jamii juu ya ujio wao hapa nchini. Katika
mazungumzo hayo yaliyofanyika katika hotel ya Don Suite iliyoko Ilala,Bungoni
jijini Dar es Salaam amesema amekuja jijini Dar es Salaam kutokana na mashabiki wa
muziki wa hapa nchini.
(Picha na Bakari Issa)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...