Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja uliofanyika jijini Dar es Salaam na kukabidhi vifaa tiba kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wa kipindupindu katika Manispaa ya Kinondoni. (Picha na Francis Dande).
 Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa akizungumza wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja uliofanyika Dar es Salaam.
Baadhi ya Mameneja na Wakurugenzi wa Benki ya CRDB wakiwa katika hafla hiyo.
  Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akikabidhi msaada wa vifaa tiba kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Mhandisi Mussa Natty, kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wa kipundupindu, ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja uliofanyika jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Dk. Aziz Msuya na kulia ni Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB anayeshughulikia Uendeshaji na Huduma kwa Wateja, Saugata Bandyopadhayay. (Picha na Francis Dande).
  Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akikabidhi msaada wa vifaa tiba kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Mhandisi Mussa Natty, kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wa kipundupindu, ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja uliofanyika jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Dk. Aziz Msuya na wa pili kulia ni Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB anayeshughulikia Uendeshaji na Huduma kwa Wateja, Saugata Bandyopadhayay. 
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...