Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba Ijumaa usiku alijikuta anapigwa  butwaa baada ya kurudi nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es salaam na kukuta bango hilo mbele yake ambapo  watoto na wajukuu wake walikuwa wamemuandalia sherehe ya kuzaliwa kwake ya miaka 75 (suprise Birthday Party) bila ya yeye mwenyewe kujua
 Jaji Warioba na mkewe walijikuta wanashangaa zaidi kukuta kumbe watoto na wajukuu sio tu wameandaa Birthday party yake bali pia sala maalumu ya kushukuru kwa kufikisha miaka 75 akiwa buheri wa afya
 Jaji Warioba akiwa na marafiki wake wa karibu walioaloikwa kwenye hafla hiyo. Kushoto kwake ni Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu Balozi Paul Rupia akifuatiwa na mama Janeth Kahama na mumewe Sir George Kahama
 Jaji Warioba akikata keki akiwa amezungukwa na wajukuu 
 Jaji Warioba akilishwa keki na mkewe
 Jaji Warioba akimlisha keki mkewe
 Jaji Warioba akiongea katika hafla hiyo ya kustukiza
 Jaji Warioba akiendelea kuongea

 Jaji Warioba na mkewe na wajukuu wao
 Jaji Warioba na mkewe wakiwa na watoto na wenza wa watoto wao

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Happy birthday mzee Warioba! Respect!!

    ReplyDelete
  2. Happy Birthday Mzee Warioba na Mungu akuzidishie maisha mingi yenye afya na amani tele.

    ReplyDelete
  3. Hii ni baraka Mungu akuongezee miaka zaidi ya hiyo.

    ReplyDelete
  4. Mzee Joseph Sinde warioba, Mungu azidi kukulinda na familia yako!

    Kutoka kwa "Mtu ni Afya" (CHEKA)

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...