Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Profesa Audax Mabulla (kushoto), Afisa Mtendaji Mkuu wa Under The Same Sun Bw. Peter Ash, Mwakilishi wa Benki ya Dunia Dkt. Yutaka Yoshino wakikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa maonyesho ya Picha za matukio ya watu wa jamii ya Albino zilizo pigwa katika kambi ya kuwahudumia Albino ya Kabanga.
Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Profesa Audax Mabulla (kushoto), Afisa Mtendaji Mkuu wa Under The Same Sun Bw. Peter Ash, Mwakilishi wa Benki ya Dunia Dkt. Yutaka Yoshino wakifurahia mara baada ya kukata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa maonyesho ya Picha za matukio ya watu wa jamii ya Albino zilizopigwa katika kambi ya kuwahudumia Albino ya Kabanga.
Mratibu wa Maonyesho ya Picha za Alibino kutoka Makumbusho ya Taifa Bibi. Flora Vicent akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla ya uzinduzi wa maonyesho hayo jana jijini Dar es Salaam. Maonyesho hayo yanafanyika kuanzia tarehe 26 Novemba 2015 hadi tarehe 26 Januari 2016.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu akifuatilia maelekezo ya Picha wakati hafla ya uzinduzi wa mmaonyesho ya picha maonyesho ya Picha za matukio ya watu wa jamii ya Albino zilizopigwa katika kambi ya kuwahudumia Albino ya Kabanga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...