SIMU.TV: Algeria yavunja kamati ya Taifa Stars. Beki Simba avamiwa na majambazi Dar. Wasauzi wailiza Yanga;https://youtu.be/QoMONN8LKNo

SIMU.TV: Rais Dr.Shein atambia tuzo ya Sheria ya watoto. Zanzibar mambo shwari. Viongozi wa dini ya Kiislam wamfagilia Rais Magufuli; https://youtu.be/aWKFXGY9_3M

SIMU.TV: UKAWA kidedea, mahakama yaamuru mwili wa Mawazo uagwe. Sherehe 30 mikononi mwa Rais Magufuli. Rungu lawashukia trafiki wa Dar.https://youtu.be/33W8K8LAeJQ

SIMU.TV: Kamati iliyoundwa kuisaidia Taifa Star Kufuzu Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018 imevunjwa Rasmi.https://youtu.be/ngvoGJhmnDA

SIMU.TV: Pata habari za kina zilizotawala magazeti ya leo Ijumaa 27.Novemba 2015 hapa Simu.tv;https://youtu.be/gOynz76Pacc

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...