Pongezi nyingi kwa Basilla Mwanukuzi (Miss Tanzania 1998) kwa kulamba nondozzz ya  stashahada ya uzamili  (PGD)  katika menejimenti ya uhusiano wa kimataifa leo 13th January 2016 katika chuo cha Diplomasia jijini Dar es salaam ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kikanda, Afrika na Kimataifa Balozi Andrew Mahiga

 Basilla Mwanukuzi (Miss Tanzania 1998) akiwa na wanafunzi wenzie baada ya kutunukiwa stashahada ya uzamili  (PGD)  katika menejimenti ya uhusiano wa kimataifa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...