Ofisa wa Mizani wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS)  kutoka Mkoa wa Iringa akitoa mada katika mafunzo ya namna ya kutumia mizani za kisasa Weigh in Motion ili kudhibiti magari yanayozidisha uzito Mkoani Morogoro.
 .  Magari yaliyokamatwa baada ya kuzidisha uzito yakiwa yamezuiliwa katika Mizani ya Vigwaza kwa hatua zaidi za kisheria.
 Eng. Japhet Kivuyo kutoka (TANROADS) Makao makuu akifafanua jambo katika mafunzo ya namna ya kutumia mizani za kisasa Weigh in Motion ili kudhibiti magari yanayozidisha uzito Mkoani Morogoro,Kulia ni Mkurugenzi wa Usalama na Mazingira Wizara ya Ujenzi Eng.Julius Chambo na kushoto ni Mkurugenzi msaidizi wa Usalama na Mazingira Eng.Joyce Mbunju.
 Mkurugenzi wa Usalama na Mazingira Wizara ya Ujenzi Eng.Julius Chambo (Wakwanza Kulia) akifafanua mada katika mafunzo ya namna ya kutumia mizani za kisasa Weigh in Motion ili kudhibiti magari yanayozidisha uzito Mkoani Morogoro.

 Mashine inayoonyesha uzito wa magari yakiwa yanapimwa katika Mizani ya  Static Weighbridge katika Mizani mpya ya Vigwaza Mkoani Pwani ambayo huondoa malalamiko ya gari kuzidishiwa uzito.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...