Spika wa Bunge Job Ndugai (kulia) akimwapisha Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa , bungeni mjini Dodoma Januari 26, 2016.
Spika wa Bunge Job Ndugai (kulia) akimwapisha Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Philip Mpango, bungeni mjini Dodoma Januari 26, 2016.
Wabunge wakisikiliza hoja mbalimbali bungeni mjini Dodoma Januari 26, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...