Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira, Ofisi ya Makamu wa Rais, Dk. Julius Ningu akizungumza na Wajumbe wa Mkutano wa Utaratibu wa Upangaji Taarifa (Clearing House Mechanism) kuhusu Viumbe Hai, wakati wa ufunguzi wa Mkutano huo uliofanyika katika Ukumbi wa Taasisi ya Utafiti wa Dawa (NIMR), jijini Dar es salaam leo. (Picha na OMR).
Sehemu ya Washiriki wa Mkutano wa Utaratibu wa Upangaji Taarifa (Clearing House Mechanism) kuhusu Viumbe Hai, wakimsikiliza kwa makini mtoa mada wa Mkutano huo, Bwana Maskati Maliwanga (hayupo pichani).

Washiriki katika Mkutano wa Utratibu Upangaji Taarifa (Clearing House Mechanism) kuhusu Viumbe Hai wakiwa katika picha ya pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...