Ngedere wakiuangalia mfuko wa plastiki ukiwa umefungwa bila kujua ndani kunanini ngedere hao wakaona wausogelee kwa karibu kama watapata chochote mara baada ya kuufungua mfuko huo.....

 Ohhhhh ni maganda ya ndizi Ngedere hawakuona tabu sana maganda nayo nikakumbuka wimbo mmoja. Mla ndiziii msaahau yote mla maganda mkumbuka yoteee hahahahaaaa. Jamani Ngedele yupo vizuri hakupotezea alipoona maganda akaona amalizie maganda hivyohivyo.
 Ngedele akaendelea kupekua vizuri katika mfuko huo hahaha ..... ngedere anamalizia vipande vidogo vidogo vya ndizi hata kama mtu kamaliza.......
 Ngedere  hakuona shida nakuamua kunywa maji yaliyopo tuu bila kujali lolote.
Picha na Avila Kakingo wa Globu ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...