Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-Ughaibuni inawatakieni heri ya kuazimisha miaka 52 ya  mapinduzi ya Zanzibar,Mapinduzi yaliyofanyika 12 January 1964 ambayo yaliwakomboa wananchi wanyonge wazanzibar walikuwa chini ya utawala wa Kisultan,Mapinduzi hayo ya tarehe 12 January 1964 yaliyomfanya Sultan kuikimbia Zanzibar na kusahau kiremba kitandani.
Mungu yabariki Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Mungu wabariki Wanzibari na kudumisha amani na upendo daima, Mungu ibariki Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tusherehekee Mapinduzi day kwa burudani ya www.ngoma-africa.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...