Na Bashir Yakub
Ili uweze kupewa ardhi na kutambuliwa kama mmiliki Tanzania zipo sifa ambazo unatakiwa kuwa nazo. Si kila mtu anaweza kupewa ardhi ya kumiliki. Sifa hizo zinatofautiana na wakati mwingine kufanana kutokana na aina ya ardhi inayoombwa na mtu husika.
Kuomba kumilikishwa ardhi ni hatua ambayo huchukuliwa na mtu anapohitaji kupata hati. Nasema hivi kwa maana ya kuwa kuna watu wana ardhi lakini hawana hati za umiliki. Hawa kisheria hatuwezi kusema wamemilikishwa ardhi. Aliyemilikishwa ardhi ni yule aliye na hati ya umiliki. Kusoma zaidi BOFYA HAPA


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...