SIMU.TV: Waziri mkuu Kassim Majaliwa auagiza uongozi wa mkoa wa Kilimanjaro kuhakikisha dawa zinapatikna katika hosptali ya mkoa ya Mawenzi;https://youtu.be/f2hoFZV9qxk
 SIMU.TV: Serikali yafanikiwa kukusanya kodi zaidi ya trioni moja kwa mwezi wa kwanza kiasi ambacho ni kikubwa kulinganisha na mwezi Disemba;https://youtu.be/Tx0b2Y7P_1M
 SIMU.TV: Inaelezwa kuwa mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Morogoro za sababisha zoezi la kuitoa ndani ya maji MV Kilombero kukwama;https://youtu.be/2LD3eHis4ow
 SIMU.TV: Serikali yaiagiza bohari ya dawa nchini MSD kuweka rangi maalum katika dawa zinazonunuliwa na serikali ili kuthibiti wizi; https://youtu.be/5wLCh_2k23w
  SIMU.TV: Rais John Magufuli aagiza kusimamishwa kazi kwa mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Bariadi kwa tuhuma kutokana na utata wa ujenzi wa barabara wilayani humo; https://youtu.be/JinxH3O_Q_4
 SIMU.TV: Wakazi wa jijini Dar es Salaam washauriwa kuendelea kutekeleza agizo la Rais John Magufuli la kutaka kufanya usafi kila mwisho wa mwezi;https://youtu.be/0b-sNdaWXA8
 SIMU.TV: Timu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam yaangukia pua baada ya kunyukwa goli 2-0 na timu ya Coastal Unioni ya jijini Tanga; https://youtu.be/AHSLnOLlgj8
 SIMU.TV: Serilkali visiwani Zanzibar yawataka wananchi kuacha kujenga karibu na vyanzo vya maji ili kuepuka maafa kama vile mafuriko; https://youtu.be/BZhpecxxUHA
 SIMU.TV: Serikali yaanza utekelezaji wa kuthibiti wizi wa dawa inazozinunua kwa kuweka nembo maalum; https://youtu.be/i4y78bjsotQ
 SIMU.TV: Uboreshaji hafifu wa mitaro ya maji na taka ngumu zachangia kuziba mitaro ya maji na kusababisha mafuriko jijini la Dar es Salaam; https://youtu.be/_xUEq2tElFQ
 SIMU.TV: Mkuu wa wilaya ya Musoma mkoani Mara awaagiza watendaji kata kuwabaini wananchi wanaotumia vibaya fedha za TASAF ili wachukuliwe hatua kali;https://youtu.be/Auaq1HkiTQk
 SIMU.TV: Serikali ilitaka shirikisho la mchezo wa riadha nchini kuwa na mkakati sahihi katika kuinua mchezo huo hapa nchini; https://youtu.be/Tk0vcDNWtBg


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...