Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Lindi Patrick Mussa Kamendu akimpa taarifa ya hali ya mauzo na masoko na utekelezaji wa miradi ya shirika la nyumba la taifa katika mkoa wake kwa Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa katika ziara ya NHC mkoa wa Lindi kufuatilia utekelezaji wa miradi hiyo mikoani.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Lindi Patrick Mussa Kamendu akiongozana na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Mtanda Lindi, katika ziara ya NHC mkoa wa Lindi kufuatilia utekelezaji wa miradi hiyo mikoani.
Nyumba za gharama nafuu za NHC Mtanda, Lindi linavyoonekana katika picha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...