Meneja wa mawasiliano wa Jovago,Liliani Kisasa akizungumza na waandishi wa habari juu ya kutumia mitandao ya kijamii kwa maendleo ya Taifa katika mkutano uliofanyika kinondoni jijini Dar es Salaam.


TAASISI ya kufanya Biashara mitandaoni ya Jovago Tanzania imewataka watanzania kutumia fursa ya matumizi ya mitandao ya kijamii kuitangaza nchi katika sekta ya utalii kimataifa.


Wito huo imetolewa na Mkurugenzi wa Jovago Afrika Mashariki Estelle Verdier –Watine alipokuwa akizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam juu ya umuhimu wa matumizi ya mtandao wa Instagram kutangaza utalii wa Tanzania.

“Tanzania ni nchi inayoongoza kwa matumizi ya instagram Africa hivyo fursa hiyo ni vyema ikatumika vyema katika kupandisha utalii wa taifa hili kuliko kupost vitu ambavyo avina faida kwa taifa” alisema Estelle.

Alisema kuwa kwa kuthamini hilo tasisi ya Jovago Tanzania imeandaa shindano la kuweka pichakatika Insrgram hivyo atakaye pata like nyingi ataweza kupata ofa ya kulala katika Hotel ya Ramada iliyopo Mbezi Beacha Dar es Salaam.

Kwa upande wake afisa habari wa kampuni hiyo Liliani Kisasa aliwatka watanzania kuchangamkia fursa hiyo hili waweze kufurahia siku hiyo wakiw ana wenzi wao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...