Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na viongozi wa CUF katika viwanja vya Nngoma hazingwa Chake Kisiwani Pemba.
Naibu Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui, akizungumza na viongozi wa CUF katika viwanja vya Nngoma hazingwa Chake Kisiwani Pemba.
Baadhi ya Viongozi wa Wilaya na Majimbo kisiwani Pemba wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad. (Picha na Salmin Said, OMKR).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...