Kituo cha Markaz Shaafiyatul Azhariyah leo kumefunguliwa rasmini kwa ufunguzi wa Msikiti , Kisima na Madrasa maeneo ya Salasala jijini Dar es salaam.
Kwa Niaba ya Uongozi wa kituo tunatoa Shukran za dhati kwa wote walio shiriki kwa hali na mali katika Ujenzi wa sehemu ya kituo hiki.
Shukran ziwaendee Blogs za Kijamii zote  kwa kurusha habari zetu na kuwafika watu mbalimbali.
Linalo fuata sasa ni Usajili maalum wa vijana ambao watakuwa ni mwanzo Katika project hii kutoka mikoa Mbalimbali.
Ombi kwa kila mpenda kheri safari yetu ndio imeanza tushirikiane kwa pamoja katika kufanya ya kheir.

Kwa mawasiliano zaidi.au Michango Tafadhali Wasiliana , 0715800772,0673800772,
face book :- Kijana wa Kiislam Dsm .


                                                  Shukran Jazakum llahu khairan.

Na Mratibu Msimamizi wa PROJECT
 GHALIB NASSOR MONERO.
Ufunguzi rasmi wa kituo cha Markaz Shaafiyatul Azhariyah leo maeneo ya Salasala jijini Dar es salaam.


 Jengo la madrasa
 Msikiti
 Mapacha wawili Ustaadh Hassan na Hussein wakimkabidhi Risala Mgeni katika Shughuli ya ufunguzi Sheikh Othman Kaporo.
 Ndani ya msikiti
Kinamama wakati wa ufunguzi huo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...