Jaji wa Mhakama Kuu ambae pia ni Mkuu wa Chuo cha Mahakama cha Lushoto Jaji Ferdinand Wambali, akisaini kitabu cha wangeni alipotembelea banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF, katika Maonesho ya Wiki ya Sheria leo jijini Dar es Salaam.
Ofisa mawasiliano wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya nchini (NHIF) Luhende Singu akitoa maelekezo kwa wananchi juu ya kujiunga na mkuko huo, katika Maonesho ya Wiki ya Sheria leo jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakiwakiwa katika banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya nchini (NHIF) katika Maonesho ya Wiki ya Sheria leo jijini Dar es Salaam.
Picha na Emmanue Massaka wa Globu ya jamii
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...