Kutoka na Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbali mbali hapa nchini, imepeleka kujaa maji katika eneo hili la Kibaigwa Mkoani Dodoma na kufanya magari kupita kwa shida katika Barabara kuu itokayo Morogoro kwenda Dodoma, kama ionekanavyo pichani.Picha na Othman Michuzi.
Askari Polisi kwa kikosi cha Usalama Barabarani wakisimamia zoezi la upishanaji wa Magari katika eneo hilo, kutokana na uwingi wa maji yanayotokana na Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbali mbali hapa nchini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...