Mkuu wa kitengo cha masoko Bw Aloyce Ntukamazina akitoa mada juu ya faida na umuhimu wa kujiwekea akiba kupitia Mfuko wa GEPF, wakati wa semina ya siku moja kwa wafanyakazi wa Benki kuu ya Tanzania, iliyofanyika hivi karibuni Jijini Dar es salaam.
Baadhi ya washiriki wa semina hiyo wakikabidhiwa fomu maalum za kujiunga na Mfuko wa GEPF.
Mkuu wa kitengo cha masoko Bw Aloyce Ntukamazina akijibu baadhi ya maswali kutoka kwa wafanyakazi wa Benki kuu juu ya mipango ya Mfuko wa GEPF katika kusogeza huduma karibu kwa watanzania wote waliojiajiri na walioajiriwa kupitia mpango wa hiari (VSRS).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...