Mwanafunzi wa chuo cha St. Joseph kampasi ya Dar es Salaam akiwa miguuni wa Askari leo mara baada ya kuishiwa nguvu wakati wakitawanywa na Askari hao jijini Dar es Salaam leo walipokuwa wakiandamana kuelekea wizara ya elimu, Sayansi na mafunzo ya Ufundi.
  Wanafunzi wa Chuo cha St. Joseph tawi la jijini Dar es Salaam wakitawanywa na askari wa kutuliza Ghasia (FFU) leo wakati wanafunzi hao wakiandamana wakielekea wizara ya elimu, Sayansi na mafunzo ya Ufundi kudai kushinikiza chuo hicho (Kampasi)tawi la Arusha kifunguliwe.
baada ya tawi hilo kufungiwa na TCU wiki iliyopita.
Picha na Avila Kakingo wa Globu ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. maksi za form 6 mbaya, mmepata baraka ya kusoma chuo kikuu (japo si kizuri kihivyo) halafu mnaleta fujo na vurugu.

    subiri watoto wa wakulima watavyoumia baada ya kufukuzwa.

    ReplyDelete
  2. Huu ukatili huu? Kila kitu lazima polisi waingilie na kupiga na kuumiza watu. Inasikitisha kwa kweli.

    ReplyDelete
  3. mi nadhani wanafunzi wana makosa makubwa kwani hamna sababu ya kugoma.warudi darsani waache vichochez vya wenzao wachache.pengne nalaum kuwabeza kuwa wana maksi ndogo kidato cha sita kwa sababu mim kuna rafk yangu ambaye alpata dv 1 kama mim lakn mi sasa nko muhimbili so wavumilie wahtmu masomo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...