WAZIRI WA HABARI,UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO NAPE NNAUYE ATEMBELEWA NA KAIMU MKURUGENZI WA MAWASILIANO NA UHUSIANO WA VODACOM,ROSALYNN MWORIA KWA AJILI YA MAZUNGUMZO YA KIKAZI.
 Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosallyn Mworia wakati alipotembelea Wizarani  kwa ajili ya mazungumzo ya kikazi.
.Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye akiwa katika picha ya pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Rosallyn Mworia wakati alipotembelea Wizarani  kwa ajili ya mazungumzo ya kikazi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...