
Kushoto ni msaidizi wa Mbunge viti maalum mkoa wa Mbeya, Dkt. Mary Mwanjelwa (CCM), Tumaini Ambakisye Mwakatika, akimkabidhi mashuka 40 na magodoro 20, mkuu wa wilaya ya Mbeya, Nyerembe Mnasa Sabi (wa pili kutoka kushoto), kwa ajili ya wanafunzi wa shule ya sekondari Iyunga Technical school ya Jijini Mbeya, waliounguliwa juzi bweni la shule hiyo na vitu vyao.
DR.MARY MWANJELWA MBUNGE WA VITI MAALUM MKOA WA MBEYA

Kushoto ni msaidizi wa Mbunge viti maalum mkoa wa Mbeya, Dkt. Mary Mwanjelwa (CCM), Tumaini Ambakisye Mwakatika, akizungumza jambo na wanafunzi wa shule ya sekondari Iyunga ya Jijini Mbeya, alipoenda kukabidhi msaada wa mashuka 40 na magodoro 20, kwa niaba ya Mbunge Dkt. Mwanjelwa leo, kufuatia wanafunzi hao kuunguliwa na bweni moja juzi.

Kushoto ni msaidizi wa Mbunge viti maalum mkoa wa Mbeya, Dkt. Mary Mwanjelwa (CCM), Tumaini Ambakisye Mwakatika, akimkabidhi mashuka 40 na magodoro 20, mkuu wa wilaya ya Mbeya, Nyerembe Mnasa Sabi (wa pili kutoka kushoto), kwa ajili ya wanafunzi wa shule ya sekondari Iyunga Technical school ya Jijini Mbeya, waliounguliwa juzi bweni la shule hiyo na vitu vyao.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...