Mwakilishi wa Mkuu wa Taasisi ya GSM, Shannon Kiwamba (kushoto) akimkabidhi hundi ya shilingi milioni 20 Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kitengo Cha Mifupa Muhimbili MOI, Dk. Othuman Kiloloma (kulia) kwa ajili ya kununua vifaa vya matibabu, Dar es Salaam jana wa (Pili kushoto) ni Ofisa habari wa Taasisi hiyo, Khalfan Kiwamba, na mratibu wa hafla hiyo, Kibwana Matokeo.
Home
Unlabelled
GSM YASAIDIA WATOTO WENYE UGONJWA WA MOYO KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MHIMBILI.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...