Mkuu wa Wilaya ya Ileje Rosemary Staki pamoja na Wakuu
wa Wilaya kutoka Wilaya mbalimbali wakiongozana na
vijana wa Scauti waliobeba mashada kuelekea kanisani
tayari kwa ibada.
Vijana wa Scauti wakiwa wamebeba jeneza lililohifadhi mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Njombe Marehemu Bi. Sarah Dumba mara baada ya kuwasili nje ya viwanja vya kanisa la Kiinjili la Kilutheri Mkoani Njombe.
Wanafamilia wa Marehemu Sarah Dumba wakionesha sura za huzuni na Majonzi baada ya kuondokewa na mpendwa wao.
Viongozi wa dini wakiongozwa na Askofu wa kanisa la Kiinjili
la Kilutheri Mkoa wa Njombe Askofu Isaya Japhet Malenge
wakiombea dua mwili wa marehemu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...