Mkuu wa Wilaya ya Ileje Rosemary Staki pamoja na Wakuu wa Wilaya kutoka Wilaya mbalimbali wakiongozana na vijana wa Scauti waliobeba mashada kuelekea kanisani tayari kwa ibada.
Vijana wa Scauti wakiwa wamebeba jeneza lililohifadhi mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Njombe Marehemu Bi. Sarah Dumba mara baada ya kuwasili nje ya viwanja vya kanisa la Kiinjili la Kilutheri Mkoani Njombe.
Baadhi ya Wananchi waliohudhuria kwenye ibada ya kumuaga Marehemu Sarah Dumba.
Wanafamilia wa Marehemu Sarah Dumba wakionesha sura za huzuni na Majonzi baada ya kuondokewa na mpendwa wao.
Viongozi wa dini wakiongozwa na Askofu wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Mkoa wa Njombe Askofu Isaya Japhet Malenge wakiombea dua mwili wa marehemu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...