Zimamoto wameiokoa !
Moto ambao hakuleta madhara makubwa!
Habari ambazo zilikuwa zimefichwa lakini ! tumezinyaka
Kuwa jengo linalotumiwa kufanyia mazoezi na bendi maarufu ya muziki wa dandi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-Ughaibuni limeshika moto ghafla na kuokolewa na kikosi cha zimamoto huko ujerumani.

Wadakuzi wa mambo walimtafuta mkuu wa bendi hiyo bila mafanikio
kamanda ras makunja kazima simu. tukampata mmoja wa wanamuziki
wa bendi hiyo ambaye alisema kweli kambi ilishika moto lakini moto huo
haUkufika katika ukumbi wa mazoezi,kwani ukumbi wa mazoezi upo chini
under ground ambako si rahisi kufika.
 
jengo hilo pia ni kituo cha vijana
na ofisi za tasisi mbali mbali zinazoshughulika na mambo ya utamaduni.
chanzo cha moto huo mpaka sasa hakijajulikana, lakini inaonyesha ulianzia katika papipa ya taka yaliyowekwa karibu na mlango.

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Duh kambi ya ffu imewaka? poleni sana viumbe wa ajabu anunnaki aliens

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...