
Leo tarehe 15 Machi 2016 ni miaka 16 tangu utwaliwe kutoka duniani.
Tulikupenda sana kaka na bado tunakumbuka uchangamfu wako, utani na kutoa msaada wako kwetu bila kuchoka.
Unakumbukwa na dada zako, wajomba, baba, jamaa na rafiki zako.
Tunaamini ya kuwa kimwili hauko nasi ila kiroho tuko pamoja tukitegemea kuwa siku moja tutajaonana.
Tutaendeleza yale uliyokuwa ukiyafanya wakati wa uhai wako.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana lihidimiiwe.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...