Waziri Mkuu wa zamani na aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya chadema na kuungwa mkono na ukawa Mhe. Edward Lowassa akisalimiana na Askofu wa KKKT Mashariki na Pwani Dkt. Alex  Malasusa wakati wa ibada ya shukran katika kanisa la Azania Front jijini Dar es salaam ambapo  Mhe. Lowassa alitoa shukran kwa Mungu kwa kumaliza kwa amani na usalama harakati za uchaguzi nchini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...