Mbunge wa Jimbo la Bumbuli January Makamba akikabidhi msaada wa Mabati 64 kwa ajli ya Ujenzi wa Maabara katika Shule ya Sekondari ya Bazo iliyopo kata ya Vuga Wilayani Lushoto mkoa wa Tanga.
Mbunge wa Jimbo la Bumbuli January Makamba akizungumza na Wananchi wa Kata Mponde katika Mkutano hadhara, ambapo Mbunge huyo ameeleza Mikakati mbalimbali ya kuwasaidia wananchi wa Kata hiyo ambao wengi wao hujishughulisha na masuala ya Kilimo.
Gari ikiwa imebeba Rola 70 za Mabomba ya kusafirishia Maji, ambayo imetolewa na Mbunge wa Jimbo la Bumbuli January Makamba kwa wananchi wa Kata ua Usambara ili kupunguza Kero ya muda mrefu ya wananchi hao katika Suala la Upatikanaji wa maji safi na salama.( Picha na Imani Nsamila ).






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...