Naibu Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Bw. Andy Mwandembwa amepokea msaada wa vifaa mbali mbali kwa ajili ya watanzania wenye ulemavu wa ngozi wanaofanya shughuli za ujasiriamali kutoka kwa Mwanadiaspora mkereketwa anayeishi Sweden, Bw. Mbarouk Rashidi. Msaada huo unajumisha vifaa vya ufundi wa karakana, nguo, vitabu na vitendea kazi vingine.
Home
Unlabelled
MWANADIASPORA MBAROUK RASHID AKABIDHI MSAADA WA VIFAA KWA AJILI YA WATANZANIA WALEMAVU KWA NAIBU BALOZI WA TANZANIA NCHINI SWEDEN
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...