Naibu Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Bw. Andy Mwandembwa amepokea msaada wa vifaa mbali mbali kwa ajili ya watanzania wenye ulemavu wa ngozi wanaofanya shughuli za ujasiriamali kutoka kwa Mwanadiaspora mkereketwa anayeishi Sweden, Bw. Mbarouk Rashidi. Msaada huo unajumisha vifaa vya ufundi wa karakana, nguo, vitabu na vitendea kazi vingine.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...