Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akizungumza na wananchi wa Milamba kwenye mkutano wa kuwashukuru na kuwapa taarifa za mambo ambayo ameshafanya mpaka sasa.
Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Yahaya Nawanda akizungumza na wakazi wa kijiji cha Mulogo/ Mnazi Mmoja na kuwataka wanakijiji hao kushirikiana ili kufanikisha maendeleo katika kijiji hicho.
Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akizungumza na wazee wa kijiji cha wa Milamba mara baada ya kumaliza kwenye mkutano wa kuwashukuru na kuwapa taarifa ya mambo ya kimaendeleo ambayo ameshaanza kuyafanyia kazi.
Mbunge
wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo Mhe. Nape Nnauye akizungumza na wakazi wa kijiji cha Nambahu.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...