Kaimu ofisa Mkuu wa Kitengo cha Wateja Wadogo  wa Benki ya NMB,  Abdulmajid Nsekela akizungumza kuhusiana na huduma mbalimbali zitolewazo na benki hiyo kwa wateja katika mkutano mkuu wa nane wa mwaka 2015 wa wanachama wa  mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa (LAPF)  jijini Arusha, juzi. Pamoja na wasilisho hilo, pia NMB ilizindua akaunti maalumu kwa ajili ya kukopesha wanachama wapya wa mfuko huo fedha kwa ajili ya kuanzia maisha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...