SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 26/3/2016
SAA 12 JIONI.
SEHEMU: Bergshamraskolan , Hjortstigen 1 Solna
BAADA YA MKUTANO BURUDANI MPAKA ASUBUHI…..!!
VINYWAJI/CHAKULA BEI POA KUTOKA FC-KILIMANJARO!
MGENI RASMI: BALOZI H. E DORA MMARI
MSECHU
WOTE MNAKARIBISHWA!



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...