Ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa SADC, wa Mawaziri,Gaborone Botswana. Kutoka Kushoto Dr. Aziz Ponary Mlima, Katibu Mkuu Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Dr. Stegomena L. Tax, Katibu Mtendaji wa SADC, Mheshimiwa Dr. Ashantu Kijaji, Naibu Waziri wa Fedha a Mipango, Bwana Said Magonya, Kamishna wa Madeni ya Nje, (Hazina).
Home
Unlabelled
Tanzania katika mkutano wa SADC wa Mawaziri mjini Gaborone, Botswana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...