BAADHI YA VIONGOZI WA DINI WALIOSHIRIKI:
1. Askofu Valentino Mokiwa, Askofu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Jimbo la Dar es salaam
2. Askofu Augustino Shao, Askofu wa Jimbo Katoliki la Zanzibar
3. Alhad Musa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam
4. Askofu Dickson Kaganda
5. Sheikh Norman Jongo, Mfanyakazi, Ofisi ya Mufti, Zanzibar
6. Abdul Hamid Yusuf Mzee, Sheikh Tumbatu
7. Ismail Asahil
8. Rev. Thomas Godda Muyya (mwenyekiti Inter Religious Council of Peace Tanzania)
9. Padri Benedict Kyefumbwa, kutoka Baraza la Maskofu Kanisa Katoliki Dar es salaam
Viongozi wa dini wakiomba dua ya pamoja kabla ya kuanza kwa kikao
Muhtasari wa kikao ukitolewa
Majadiliano
Ripoti ya hali halisi ilivyo visiwani
Mjadala ukiendelea
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...